Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mahiga afungua Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wananchama wa Jumuiya ya Utatu wa COMESA-EAC-SADC (TRIPARTITE)
Oct 26, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_21102" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maombo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Agustine Mahiga akiongoza mkutano wa kwanza wa Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya miundombinu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Utatu wa COMESA-EAC-SADC (TRIPARTITE) leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_21103" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Agustine Mahiga(watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya miundombinu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Utatu wa COMESA-EAC-SADC (TRIPARTITE) alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa mkutano wa Mawaziri hao leo Jijini Dar es Salaam.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi