Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri George Simbachawene Apokelewa Ofisi Ndogo ya Makamu wa Rais Dar es Salaaam
Jul 22, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_45650" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mussa Sima (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene (katikati) katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam mara baada ya kuapishwa Ikulu Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo.[/caption] [caption id="attachment_45651" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene akikaribishwa na Bi. Elizabeth Mtiganzi katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam mara baada ya kuapishwa Ikulu Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_45652" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene akizungumza na Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais (hawapo pichani) katika Ofisi ndogo Dar es Salaam, mara baada ya kuwa kuapishwa Ikulu Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine Mhe. Simbachawene amewataka watendaji hao kushirikiana kwa pamoja.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi