Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri biteko akutana na kampuni ya Tanzaplus
Jan 16, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_39806" align="aligncenter" width="800"] Waziri wa Madini, Doto Biteko (kushoto) akizungumza na watendaji wa kampuni inayojishughulisha na uyeyushaji wa madini ya bati katika wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ya Tanzaplus. Waliokaa kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Madini, Augustine Ollal, na Upendo Fatukubonye na Hamis Mhando ambao ni watendaji kutoka kampuni ya Tanzaplus.[/caption]   [caption id="attachment_39807" align="aligncenter" width="800"] Mkurugenzi kutoka kampuni ya Tanzaplus, Hamis Mhando (kulia) akielezea jinsi teknolojia ya mfumo wa usimamizi wa uzalishaji, usafirishaji na uuzaji wa madini inavyofanya kazi.[/caption] [caption id="attachment_39808" align="aligncenter" width="800"] Waziri wa Madini, Doto Biteko akisisitiza jambo katika kikao hicho.[/caption] [caption id="attachment_39809" align="aligncenter" width="800"] Wataalam kutoka Wizara ya Madini wakinukuu maelekezo mbalimbali yaliyokuwa yanatolewa na Waziri wa Madini, Doto Biteko (hayupo pichani)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi