Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Watanzania Nane Wapata Ufadhili wa Masomo Chini ya Mpango wa ABE
Aug 22, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_9854" align="aligncenter" width="750"] Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa JICA Bw. Toshio Nagase akizungumza katika hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_9856" align="aligncenter" width="750"] Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza katika hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, hafla hiyo ilifanyika Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_9857" align="aligncenter" width="750"] Washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kuhudhuria mafunzo nchini Japani chini ya ufadhili wa Serikali ya Japani kupitia mpango wa ABE Initiative, hafla hiyo ilifanyika Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_9859" align="aligncenter" width="750"] Mmoja wa wanufaika wa Mpango wa Mafunzo ya ABE akielezea alivyonufaika na mafunzo hayo wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ya kuwaaga Watanzania nane waliopata ufadhili wa masomo chini ya Mpango huo, hafla hiyo ilifanyika Jijini Dar es Salaam.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi