Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Oct 06, 2018
Na Msemaji Mkuu

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Tovuti : www.ikulu.go.tz

Faksi: 255-22-2113425

 
OFISI YA RAIS,       IKULU,  1 BARABARA YA BARACK OBAMA,   11400 DAR ES SALAAM. Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Ikulu, Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Habbi Gunze kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Uteuzi wa Bw. Gunze umeanza tarehe 01 Oktoba, 2018.

Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU

Dar es Salaam

05 Oktoba, 2018

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi