Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Taarifa kwa Umma
Nov 08, 2018
Na Msemaji Mkuu

Ikulu, Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Lut Jen. Mstaafu Samweli A. Ndomba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Mzinga.

Lut Jen. Mstaafu Ndomba anachukua nafasi ya Bw. Andrew Severin Nyumayo ambaye amemaliza muda wake.

Wakati huohuo, Mhe. Rais Magufuli amemteua Prof. Zacharia M.D. Mganilwa kuwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kwakipindikingine cha miakamitano.

Uteuzi wa viongozi hawa umeanza tarehe 05 Novemba, 2018.

Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano yaRais, IKULU

Dar es Salaam

07 Novemba, 2018

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi