Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais wa FIFA Awasili Nchi Leo Alfajiri
Feb 22, 2018
Na Msemaji Mkuu

Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akiwa na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino mara baada ya Rais huyo kuwasili nchini leo alfajiri kuhudhiria Mkutano wa FIFA. Infatino pia anatarajia kukutana na Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.

Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akimtambulisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino mara baada ya Rais huyo kuwasili nchini leo alfajiri kuhudhiria Mkutano wa FIFA. Infatino pia anatarajia kukutana na Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi