Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Rais Samia Azindua Mradi wa Maji, Azungumza na Wananchi Shelui
Oct 17, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Binaya Srikanta Pradhan pamoja na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso wakati wakivuta kitambaa kuashiria uzinduzi wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya Mji wa Shelui katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Kijiji cha Kizonzo, Wilaya ya Iramba mkoani Singida tarehe 17 Oktoba, 2023.
Na Ikulu
Habari Mpya
Hatutavumilia vitendo vyovyote vinavyochochea machafuko na mifarakano nchini – R...
Sep 17, 2024
Tanzania Yazuia Tani 216 za Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni
Sep 17, 2024
Rais Dkt. Mwinyi Atoa Rai kwa ZRCP Kuanzisha Mfumo Wezeshi Kwenye Biashara Zinaz...
Sep 17, 2024
Mwanza Yaja na Kliniki ya Ardhi Kata kwa Kata Kuwafikia Watu Kwenye Maeneo Yao
Sep 13, 2024
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Kuokoa Maisha ya Watu - Dkt. Biteko
Sep 13, 2024
Waziri Kijaji Akutana na Kamisheni ya Tabianchi ya Bonde la Congo
Sep 13, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa