Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Samia Akagua Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji katika shamba la Mbegu, Kilimi, Aembelea Soko la Wamachinga Parking
Oct 18, 2023
Rais Samia Akagua Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji katika shamba la Mbegu, Kilimi, Aembelea Soko la Wamachinga Parking
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. kt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Miundombinu ya umwagiliaji katika Shamba la Mbegu Kilimi, Nzega Mkoani Tabora tarehe 18 Oktoba, 2023.
Na Ikulu

 

 

 

 

 

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi