Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Anwani za Makazi, Posti Kodi Kukamilika Kabla ya Sensa
Feb 02, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Naye Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Eliezer Feleshi amesema Huduma ya mahakama mtandao inaendelea kufanya kazi za uendeshaji wa mashauri na kutoa haki kwa njia ya mtandao hivyo kuepusha ulazima wa wahusika kufika mahakamani.

“Kuanzia Januari mwaka huu hadi sasa, kati ya mashauri 5,447 yaliyofunguliwa mashauri 5,235 yalifunguliwa kielektroniki huku mashauri 212 pekee yalifunguliwa kwa njia ya kawaida”,amesema

Siku ya Sheria nchini huadhimishwa kila mwaka kuashiria kuanza kwa rasmi kwa shughuli za kimahakama kwa mwaka husika na mwaka huu ilikuwa na kauli mbiu inayosema Zama za Mapinduzi ya Nne ya Viwanda: Safari ya Maboresho Kuelekea Mahakama Mtandao.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi