Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Samia Ahudhuria Mkutano wa 15 wa BRICS Unaofanyika Johannesburg Nchini Afrika Kusini
Aug 24, 2023
Rais Samia Ahudhuria Mkutano wa 15 wa BRICS Unaofanyika Johannesburg Nchini Afrika Kusini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Wakuu wa nchi na Serikali kwenye Mkutano wa 15 wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
Na Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa China, Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi