Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Mhe. Samia Ashuhudia Utiaji Saini Mikataba ya Miradi ya Maji kwa ajili ya Miji 28
Jun 06, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi mbalimbali kabla ya kushuhudia utiaji Saini Mikataba ya miradi ya Maji kwa ajili ya Miji 28 kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 06 Juni, 2022.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi