Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Magufulia Aagana na Balozi wa China Aliyemaliza Muda Wake
Sep 06, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_12193" align="aligncenter" width="750"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa China aliyemaliza muda wake nchini Dkt. Lu Youqing alipofika kumuaga Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 6, 2017[/caption] [caption id="attachment_12196" align="aligncenter" width="750"]
c2: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zwadi ya kinyago Balozi wa China aliyemaliza muda wake nchini Dkt. Lu Youqing alipofika kumuaga Ikulu jijini Dar es salaam.[/caption] [caption id="attachment_12199" align="aligncenter" width="683"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zwadi ya kinyago Balozi wa China aliyemaliza muda wake nchini Dkt. Lu Youqing alipofika kumuaga Ikulu jijini Dar es salaam leo.[/caption] [caption id="attachment_12202" align="aligncenter" width="683"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata picha ya kumbukumbu Balozi wa China aliyemaliza muda wake nchini Dkt. Lu Youqing alipofika kumuaga Ikulu jijini Dar es salaam leo.M[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi