Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Magufuli Ahaidi Neema kwa Wafanyakazi
May 02, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_31044" align="aligncenter" width="750"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia maelfu ya wananchi waliohudhuria sherehe za Mei Mosi Uwanja wa CCM Samora mjini Iringa jana.[/caption] [caption id="attachment_31045" align="aligncenter" width="750"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria sherehe za Mei Mosi Uwanja wa CCM Samora mjini Iringa jana.[/caption] [caption id="attachment_31046" align="aligncenter" width="750"] Wabunge wa Mkowa wa Iringa wakisimama kumsalimia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye sherehe za Mei Mosi Uwanja wa CCM Samora mjini Iringa jana.[/caption] [caption id="attachment_31047" align="aligncenter" width="750"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kiongozi wa kimila wa kabila la Wahehe Chifu Adam Mkwawa wakati wa sherehe za Mei Mosi Uwanja wa CCM Samora mjini Iringa jana.[/caption] [caption id="attachment_31048" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akisalimiana na kiongozi wa kimila wa kabila la Wahehe Chifu Adam Mkwawa wakati wa sherehe za Mei Mosi Uwanja wa CCM Samora mjini Iringa jana. (Picha na Ikulu)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi