Ujumbe wa Jumuiya ya Mabunge ya Canada – Afrika wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2024, ujumbe huo uliongozwa na Balozi wa Canada Nchini Tanzania, Mhe. Kyle Nunas na (kulia kwake) ni Kiongozi wa Ujumbe huo, Seneta Mhe. Amina Gerba.
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Ndogo
Kawaida
Kubwa