Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Dkt Magufuli Awaandalia Chakula cha Jioni Wazee wa Iringa, Viongozi wa Dini na Siasa, TUCTA
May 03, 2018
Na Msemaji Mkuu

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwakaribisha wazee wa Kihehe kwenye hafla ya chakula cha jioni aliyowaandalia wao pamoja na viongozi wa dini, siasa na wa TUCTA katika Ikulu ndogo ya mjini Iringa usiku wa Mei Mosi

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasikiliza Naibu Chifu wa Wahehe Gerald Malangalila akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wakielezea historia ya Iringa katika hafla hiyo

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahigaakisimulia  historia ya machifuIringa katika hafla hiyo

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwakaribisha wazee wa Kihehe kujipatia  chakula cha jioni aliyowaandalia wao pamoja na viongozi wa dini, siasa na wa TUCTA katika Ikulu ndogo ya mjini Iringa usiku wa Mei Mosi

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wageni wengine wakimsikikiza Mbunge wa Iringa mjini kwa tiketi ya CHADEMA Mch. Peter Msigwa akiongea machache wakati wa hafla hiyo ya  chakula cha jioni  Ikulu ndogo ya mjini Iringa usiku wa Mei Mosi
 

Madiwani wa kata mbalimbali za mji wa Iringa waliohamia CCM kutoka CHADEMA wakijitambulisha kwenye hafla hiyo. Picha na IKULU

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi