Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Dkt Magufuli akutana na Mtendaji Mkuu Wa Benki ya Biashara na Maendeleo Mashariki na Kusini mwa Afrika Dodoma Leo
Nov 25, 2019
Na Msemaji Mkuu

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipeana mikono kwa furaha na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara na
Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Africa wakati wa
mazungumzo yao Ikulu Chamwino jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimpa zawadi ya kinyago  Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya
Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika  alipokutana naye kwa
mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika picha na pamoja na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo
ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake na Waziri wa
Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu wa wizara hiyo Doto
James na maafisa waandamizi wa wizara  alipokutana naye Ikulu Chamwino
jijini Dodoma
   

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi