Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mwakilishi Mpya wa Taasisi ya Hifadhi ya Watoto ya UN Ajitambulisha Zanzibar
Aug 21, 2023
Mwakilishi Mpya wa Taasisi ya Hifadhi ya Watoto ya UN Ajitambulisha Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mwakilishi mpya wa Taasisi ya Hifadhi ya Watoto ya Umoja wa Mataifa, Bibi. Elke Wisch alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambulisha leo 21/08/2023.
Na Ikulu - Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mwakilishi mpya wa Taasisi  ya Hifadhi ya Watoto ya Umoja wa Mataifa, Bibi. Elke Wisch alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambulisha leo 21/08/2023.

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Mwakilishi mpya wa Taasisi  ya Hifadhi ya Watoto ya Umoja wa Mataifa, Bibi. Elke Wisch (kushoto) alipofika kujitambulisha leo Ikulu jijini Zanzibar (kulia) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Mhandisi Zena Ahmed Said.[

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akisalimiana na Mwakilishi mpya wa Taasisi  ya Hifadhi ya Watoto ya Umoja wa Mataifa, Bibi. Elke Wisch alipofika kujitambulisha leo Ikulu jijini Zanzibar 

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akibadilishana mawazo  na Mwakilishi mpya wa Taasisi  ya Hifadhi ya Watoto ya Umoja wa Mataifa, Bibi. Elke Wisch alipofika kujitambulisha leo Ikulu jijini Zanzibar

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika picha na mgeni wake Mwakilishi mpya wa Taasisi  ya Hifadhi ya Watoto ya Umoja wa Mataifa, Bibi. Elke Wisch baada ya mazungumzo alipofika kujitambulisha leo Ikulu jijini Zanzibar 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi