Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Nishati ya Mafuta Uganda
May 13, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa akiwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Ashatu Kijaji pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato wakiwa katika Kikao cha majadiliano ya Wadau mbalimbali katika Sekta ya Uwekezaji wa Mafuta katika Jiji la Kampala nchini Uganda tarehe 11 Mei, 2022.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi