Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mganga Mkuu wa Serikali Afungua Kongamano la 6 la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo, Mgongo, Mishipa ya Fahamu MOI
Nov 12, 2019
Na Msemaji Mkuu

    Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Muhammad Kambi akizungumza wakati wa uzinduzi wa kongamano la 6 la madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo ,Mishipa ya fahamu linalofanyika katika Taasisi ya MOI. (PICHA NA KHMISI MUSSA)
 

  Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt. Respicious Boniface  akizungumza wakati wa uzinduzi wa kongamano la 6 la madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo ,Mishipa ya fahamu linalofanyika katika Taasisi ya MOI kuanzia leo Novemba 11-15, 2019.

  Dk. Roger Hartl kutoka chuo kikuu cha Weill Cornell cha Marekani akizungumza wakati wa kongamano la 6 la kimataifa la madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu. Madaktari Bingwa kutoka katika mataifa mbalimbali wakifuatilia mada katika kongamano la kimataifa la madaktari bingwa wa Ubongo,Mgongo na Mishipa ya Fahamu.

 Madaktari Bingwa kutoka katika mataifa mbalimbali wakifuatilia mada katika kongamano la kimataifa la madaktari bingwa wa Ubongo,Mgongo na Mishipa ya Fahamu

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi