Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama michoro ya ujenzi wa mradi wa maji wa Mitwero, Mkwaya na Kitunda wilayani Lindi, Oktoba 5, 2021
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Mnara iliyopo Rondo katika Jimbo la Mtama Mkoani Lindi, Oktoba 5, 2021.
Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Benard Membe (katikati), Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Lindi, Athumani Seif (kulia) na Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Naaz Mangochi wakifurahia hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza na wananchi katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Mnara katika jimbo la Mtama, Mkoa wa Lindi, Oktoba 5, 2021
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi, Mhashamu Bruno Ngonyani wakati alipotembelea hospitali ya Nyangao katika Jimbo la Mtama, Oktoba 5, 2021.