Matukio katika picha ziara ya Kamati ya Uongozi ya MKURABITA mkoani Njombe
Jan 28, 2021
Na
Msemaji Mkuu
Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Bi. Katarina Revoati, akisisitiza jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wamyonge Tanzania (MKURABITA) leo Januari 28, 2021 walipomtembelea ofisini kwake.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya MKURABITA, Mhe. Balozi (Mstaafu) Daniel ole Njoolay (kushoto), akieleza jambo kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Bi. Katarina Revocati, wajumbe wa Kamati hiyo walipomtembelea ofini kwake mkoani Njombe leo Januari 28, 2021.