Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio Katika Picha Warsha ya Wadau wa Sekta ya Fedha
May 29, 2018
Na Msemaji Mkuu

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Florens   Luoga akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini kujadili mchango wa sekta hiyo kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (Mb) leo Jijini Dodoma.

Naibu Katibu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Khatib  Kazungu akizungumza katika warsha ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini kujadili mchango wa sekta ya fedha kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango  Bw. Dotto James leo Jijini Dodoma.

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Florens   Luoga akiteta jambo na Naibu Katibu  Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Khatib  Kazungu warsha ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini kujadili mchango wa sekta ya fedha kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda .

Mbunge  wa  Viti maalum  Mhe. Maria Kangole akiteta jambo na Mbunge wa  Muheza Balozi Adadi Rajabu wakati wa warsha ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini kujadili mchango wa sekta ya fedha kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda .

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Prof. Elisante  Ole Gabriel  akiteta jambo na  Naibu Katibu  Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Khatib  Kazungu wakati wa warsha ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini kujadili mchango wa sekta hiyo  kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu  Sera  na  Uratibu Prof. Faustine Kamuzora akizungumza wakati wa warsha ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini kujadili mchango wa sekta ya fedha kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda

Sehemu ya washiriki wa warsha   ya siku moja  ya wadau wa sekta ya fedha nchini iliyolenga kujadili  mchango wa sekta ya fedha kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda wakifiatilia hotuba ya mgeni rasmi leo Jijini Dodoma .

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji  Prof. Elisante  Ole  Gabriel  akitaeta jambo na  mbunge wa viti maalum  Mhe. Maria Kangole wakati wa warsha  ya siku moja  ya  wadau wa sekta ya fedha nchini iliyolenga kujadili  mchango wa sekta ya fedha kwenye maendeleo ya uchumi wa Viwanda.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi