Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Matukio katika Picha: Uzinduzi wa Mbio za ‘Waandishi wa Habari Fun Run’ ikiwa ni Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia 2024
May 01, 2024
Wadau wa tasnia ya habari nchini wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri leo Mei 1, 2024, wameshiriki kukimbia katika mbio za ‘Waandishi wa Habari Fun Run’ mwendo wa kilometa 10 kwa lengo la kuimarisha afya. Mbio hizo ni ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia kwa mwaka 2024 yanayofanyika Mei 1-3 Jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete ambapo Kauli Mbiu ya ni “Uandishi wa Habari na Changamoto za Mabadiliko ya Tabianchi”.
Na Mwandishi Wetu
Habari Mpya
Hatutavumilia vitendo vyovyote vinavyochochea machafuko na mifarakano nchini – R...
Sep 17, 2024
Tanzania Yazuia Tani 216 za Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni
Sep 17, 2024
Rais Dkt. Mwinyi Atoa Rai kwa ZRCP Kuanzisha Mfumo Wezeshi Kwenye Biashara Zinaz...
Sep 17, 2024
Mwanza Yaja na Kliniki ya Ardhi Kata kwa Kata Kuwafikia Watu Kwenye Maeneo Yao
Sep 13, 2024
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Kuokoa Maisha ya Watu - Dkt. Biteko
Sep 13, 2024
Waziri Kijaji Akutana na Kamisheni ya Tabianchi ya Bonde la Congo
Sep 13, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa