Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio katika Picha: Maandalizi ya Uzinduzi wa Matokeo ya Sensa
Oct 25, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Na Mwandishi Wetu - Dodoma

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Bw. Kaspar Mmuya  Oktoba 25, 2022 ameongoza Kikao cha Kamati Tendaji inayohusisha Makatibu Wakuu kwa ajili ya  Maandalizi ya Uzinduzi wa Matokeo ya Kwanza ya Sensa ya Watu na Makazi  utakaofanyika Oktoba 31,2022 Katika Uwanja Wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Katika uzinduzi huo  mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi