Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Makamu wa Rais Azindua Kampeni ya Kuifanya Dodoma Kijani
Dec 21, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="" align="aligncenter" width="800"] Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuifanya Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti iliyofanyika katika Bonde la Mzakwe.[/caption]  

[caption id="attachment_25417" align="aligncenter" width="800"] Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu akimwagilia mti wa aina ya Mwamaji( Mdodoma) baada ya kuupanda wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuifanya Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti iliyofanyika katika Bonde la Mzakwe.[/caption] [caption id="" align="aligncenter" width="800"] Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.January Makamba akizungumza wakati wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuifanya Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti iliyofanyika katika Bonde la Mzakwe.[/caption]  
[caption id="attachment_25415" align="aligncenter" width="800"] Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.Kango Lugola akiburudika pamoja na kikundi cha ngoma kutoka JKT Makutupora wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuifanya Dodoma kuwa kijani kwa kupanda miti iliyofanyika katika Bonde la Mzakwe.[/caption]

Habari Mpya

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi