Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Makamu wa Rais Atembelea Barabara ya Inyala Mbeya
Aug 01, 2023
Makamu wa Rais Atembelea Barabara ya Inyala Mbeya
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akikagua barabara ya mchepuko katika mlima Inyala mkoani Mbeya leo tarehe 01 Agosti, 2023.
Na Ofisi ya Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akikagua Zahanati ya Shamwengo iliyopo eneo la Inyala mkoani Mbeya leo tarehe 01 Agosti, 2023. 

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Shamwengo mara baada ya kutembelea zahanati ya Kijiji hicho leo tarehe 01 Agosti, 2023.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi