Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Makamu wa Rais Apokea Ndege ya BOEING 737 - MAX9
Oct 03, 2023
Makamu wa Rais Apokea Ndege ya BOEING 737 - MAX9
Ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 yenye uwezo wa kupakia abiria 181 ikiwasili nchini kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam.na kumwagiwa maji (water salute) leo tarehe 03 Oktoba 2023.
Na Ofisi ya Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mke wa Makamu wa Rais, Mama Mbonimpaye Mpango pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 iliyowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 mara baada ya kuipokea ilivyowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

 

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi