Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye kongamano la wanawake la Women Advancing Africa (WAA) linaloendelea jijini Dar es Salaam lenye lengo la kutatua changamoto na kuendesha maendeleo ya kiuchumi Afrika.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye kongamano la wanawake la Women Advancing Africa (WAA) linaloendelea jijini Dar es Salaam lenye lengo la kutatua changamoto na kuendesha maendeleo ya kiuchumi Afrika. kulia ni Bi. Graca Michel, Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Hayati Nelson Mandela.