Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Aweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi Halmashauri ya Kakonko
Feb 19, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_40634" align="aligncenter" width="1000"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia baada ya kuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, Februari 19, 2019. Kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako na wapili kushoto ni Mbunge wa Buyungu, Christopher Chiza.[/caption] [caption id="attachment_40635" align="aligncenter" width="1000"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo, Februari 19, 2019. Wapili kulia ni mkewe Mary.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi