Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Atembelea Shamba la JKT Rwamkoma Wilayani Butiama
Jan 20, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_27516" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima wakati alipotembelea shamba la kuzalisha mbegu bora ya mhogo aina ya mkombozi katika kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ya Rwmkoma wilayani Butiama, Januari 18, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)[/caption] [caption id="attachment_27517" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama shamba la Pamba wakati alipotembelea shamba la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lililopo Rwamkoma wilayani Butiama Januari 20, 2018. Shamba hilo pia linazalisha mbegu bora za mhogo aina ya mkombozi.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi