Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Atembelea Makumbusho ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)
Aug 03, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_45885" align="aligncenter" width="750"]
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mtambo uliokuwa unatumika kwenye mawasiliano ya simu hapo zamani wakati alipotembelea makumbusho ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) yaliopo kwenye jengo la EXTELECOMS Jijini Dar es salaam, Agosti 3, 2019. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba na Kulia ni Meneja wa Huduma kwa Wateja wa TTCL Laibu Leonard.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi