Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Majaliwa Ashiriki Tukio la Upandaji Miti FAO
Oct 15, 2023
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), Dkt. Qu Dongyu wakati wa halfa ya upandaji miti katika bustani ya Villa Pamphilj Entrace Largo Martin Luther King, Rome Italia, Oktoba 15, 2023. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mahmoud Thabit Kombo. Mheshimiwa Majaliwa yupo nchini Italia kumuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la Chakula Duniani litakalofanyika makao makuu ya FAO kuanzia Oktoba 16, 2023 hadi Oktoba 20, 2023.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu
Habari Mpya
Hatutavumilia vitendo vyovyote vinavyochochea machafuko na mifarakano nchini – R...
Sep 17, 2024
Tanzania Yazuia Tani 216 za Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni
Sep 17, 2024
Rais Dkt. Mwinyi Atoa Rai kwa ZRCP Kuanzisha Mfumo Wezeshi Kwenye Biashara Zinaz...
Sep 17, 2024
Mwanza Yaja na Kliniki ya Ardhi Kata kwa Kata Kuwafikia Watu Kwenye Maeneo Yao
Sep 13, 2024
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Kuokoa Maisha ya Watu - Dkt. Biteko
Sep 13, 2024
Waziri Kijaji Akutana na Kamisheni ya Tabianchi ya Bonde la Congo
Sep 13, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa