Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mabalozi Wamuaga Rais Dkt. Mwinyi
Oct 04, 2023
Mabalozi Wamuaga Rais Dkt. Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali Duniani walipofika kujitambulisha na kumuaga Rais,Ikulu Jijini Zanzibar leo.
Na Ikulu - Zanzibar

Baadhi ya Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali Duniani wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipozungumza nao leo walipofika kujitambulisha na kumuaga Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akiagana na Balozi Habibu A. Mohamed anaeiwakilisha Tanzania katika nchi ya Doha, Qatar akiwa ni miongoni mwa Mabalozi walipofika kujitambulisha na kumuaga Rais, Ikulu Jijini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akiagana na Balozi Hassan Mwamweta anaeiwakilisha Tanzania katika Nchi ya Berlin na Ujerumani akiwa ni miongoni mwa  Mabalozi  walipofika kujitambulisha na kumuaga Rais, Ikulu Jijini Zanzibar leo.

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi