Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Kitaifa Kufanyika Tarime
Oct 01, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_16271" align="aligncenter" width="750"] Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Watoto toka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Margaret Mussai akielezea jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime, Mkoani Mara. Kushoto ni Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali, Save the Children Tanzania Bi. Jasminka Milovanic[/caption] [caption id="attachment_16272" align="aligncenter" width="750"] Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali, Save the Children Tanzania Bi. Jasminka Milovanic akifafanua jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime, Mkoani Mara. Kukulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Watoto toka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Margaret Mussai.[/caption] [caption id="attachment_16273" align="aligncenter" width="750"] Afisa Habari wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bw. Anthony Ishengoma akisisitiza jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime, Mkoani Mara.[/caption] [caption id="attachment_16276" align="aligncenter" width="750"] Mwakilishi kutoka asasi ya kiraia ya CAMFED Bi. Theresia Moyo akielezea jambo mbele ya Wahariri wa Habari (hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime, Mkoani Mara. Kutoka kulia ni Mwezeshaji wa Kitaifa toka Taasisi ya Tanzania Girl Guides Bi. Emiliana Stanslaus na Mwakilishi wa Room to Read Bi. Rachel Mbushi.[/caption] [caption id="attachment_16279" align="aligncenter" width="750"] Mtaalam wa Haki za Watoto toka Shirika lisilo la Kiserikali, Save the Children Tanzania Bi. Neema Bwaira akisisitiza jambo wakati wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime, Mkoani Mara. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Familia toka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi. Rose Minja.[/caption] [caption id="attachment_16280" align="aligncenter" width="750"] Mhariri wa Habari kutoka kituo cha televisheni cha Channel Ten Bibi. Esther Zelamula akichangia mada wakati wa wa kikao na Wahariri wa Vyombo vya Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambayo kitaifa inatarajiwa kufanyika tarehe 11 Oktoba Tarime, Mkoani Mara. (Na: Mpiga Picha Wetu.)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi