Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Kongamano la Wadau wa Maji Lafanyika jijini Dar es Salaam
Jul 19, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_33735" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa wadau wa sekta ya maji wakati wa kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini.[/caption] [caption id="attachment_33736" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wadau wa sekta ya maji wakati wa kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini.[/caption] [caption id="attachment_33737" align="aligncenter" width="750"] Baadhi ya wadau wa sekta ya maji wakiwa katika kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini.[/caption] [caption id="attachment_33738" align="aligncenter" width="750"] Mwakilishi toka sekta binafsi nchini (TPSF) Louis Akaro akizungumza na wadau wa sekta ya maji wakati wa kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini.[/caption] [caption id="attachment_33739" align="aligncenter" width="750"] Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Viwanda toka Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Aristide Mbwasi akizungumza na wadau wa sekta ya maji wakati wa kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini.[/caption] [caption id="attachment_33740" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa sekretarieti ya maandalizi ya kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini.[/caption] [caption id="attachment_33741" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (wa pili toka kulia) akipata maelekezo toka kwa Afisa Mauzo wa kampuni ya Pipe Industries Ltd. Ezra Chiwelesa wakati wa kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini, Kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni hiyo Piyush Nath na wapili toka kushoyo ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso.[/caption] [caption id="attachment_33742" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa akipata maelekezo ya vifaa vya maji toka kwa Afisa Mauzo wa kampuni ya Plasco Ltd. Mhandisi Elisaria Aminiel wakati wa kongamano la kujadili fursa zilizopo na changamoto zinazoikabili sekta binafsi nchini katika kuchangia maendeleo ya sekta ya maji nchini. Picha na MAELEZO[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi