Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Kikao cha Nne Kujadili Maendeleo ya Ujenzi wa Ofisi za Wizara Awamu ya Pili Chafanyika, Dodoma
Jan 12, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Katibu wa kuhamishia shughuli za Serikali Dodoma na Mratibu wa ujenzi wa Mji wa Serikali Dodoma Bw Meshach Bandawe akiongoza kikao cha Nne cha Wakurugenzi wa Utawala wa Wizara zote, wakandarasi na Washauri Elekezi cha kujadili maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Wizara  awamu ya pili zinazojengwa katika Mji wa Serikali Dodoma
Katibu wa kuhamishia shughuli za Serikali Dodoma na Mratibu wa ujenzi wa Mji wa Serikali Dodoma Bw Meshach Bandawe akiongoza kikao cha Nne cha Wakurugenzi wa Utawala wa Wizara zote, wakandarasi na Washauri Elekezi cha kujadili maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Wizara  awamu ya pili zinazojengwa katika Mji wa Serikali Dodoma 
Wajumbe wa kikao hicho wakifuatilia maelekezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa na Katibu wa kuhamishia shughuli za Serikali Dodoma na Mratibu wa ujenzi wa Mji wa Serikali Dodoma Bw Meshach Bandawe (hayupo pichani) juu ya maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Wizara  awamu ya pili zinazojengwa katika Mji wa Serikali Dodoma

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi