Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye akikabidhiwa kipeperushi na Katibu Mtendaji wa Taasisi isiyoi ya Kiserikali inayojishughulisha na kuzuia Uhalifu na Ajali (UAC), Eliot Andrew (kushoto) wakati wa Uzinduzi wa namba 114 ambayo ni ya dharara hususani kutoa taarifa za majanga ya moto, ajali, tetemeko na majanga mengine
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye akiongea wakati wa Uzinduzi wa namba 114 ambayo ni ya dharara hususani kutoa taarifa za majanga ya moto, ajali, tetemeko na majanga mengine . Kulia ni Naibu Kamishna Rasirimali Watu wa Jeshi hili, Billy Mwakatage na kushoto ni Katibu Mtendaji wa Taasisi isiyoi ya Kiserikali inayojishughulisha na kuzuia Uhalifu na Ajali (UAC), Eliot Andrew.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye akionesha namna ya uwekaji stika yenye namba ya dharura 114 inayobandikwa kwenye vyombo vya usafiri na maeneo mengine kwa ajili ya kutumiwa na wananchi kutoa taarifa za majanga.
(Picha zote na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)