Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Dkt. Shein Akutana na Ujumbe wa Kampuni za Ujenzi Kutoka China
May 16, 2018
Na Msemaji Mkuu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Rais wa Kampuni ya Railway Construction Corporation (CRCC) ya China,  Bw. Zhuang Shangbiao (kulia) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akifuatana na Rais wa Kampuni ya Civil Engineering Construction  Corporation (CCECC) Bw .Zhao Dianlong (wa pili kulia) pamoja na Viongozi waliofuatana nao katika ziara ya hapa Nchini. (Picha na Ikulu., Zanzibar)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Rais wa Kampuni ya Railway Construction Corporation (CRCC) ya China  Bw. Zhuang Shangbiao (wa tatu kulia) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akifuatana na Rais wa Kampuni ya Civil Engineering Construction  Corporation (CCECC) Bw. Zhao Dianlong (katikati) pamoja na Viongozi waliofuatana nao katika ziara yao hapa nchini. (Picha na Ikulu, Zanzibar).

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi