Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini, CGF Thobias Andengenye, amepokea msaada wa vifaa vya kuzimia moto na maokozi vitakavyotumika kwa shughuli mbalimbali za Jeshi hilo.
Amepokea msaada huo mapema hii leo Makao Makuu Ndogo ya Jeshi hilo Jijini Dar es Salaam, kutoka kwa Kampuni ya Wilna International Japan.
Hata hivyo, Andengenye ameishukuru Kampuni hiyo kwa kutoa msaada huo na kushirikiana na Jeshi hilo katika Kuokoa Maisha na adana escort mersin escort eryaman escort ankara escort kayseri escort eskişehir escort bedava bonus veren bahis siteleri canlı casino canlı casino oyna canlı casino sitesi casino bonus metropol casino casino metropol canlı casino canlı casino sitesi canlı casino canlı bahis Mali za Watanzania.
Aidha, Mwakilishi wa Kampuni ya Wilna International Japan, Bw. Martin Chuwa, amesema kuwa wameamua kutoa msaada huo wa vifaa vya kuzimia moto na maokozi ili kurahisisha utendaji kazi wa Jeshi hilo.