Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Afisa Manunuzi, Mzabuni, Kinampanda Wakamatwa kwa Kughushi Nyaraka
Oct 07, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_47836" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua maktaba ya Chuo cha Ualimu Kinampanda, mkoani Singida, wakati akikagua ukarabati wa Chuo mersin escort bedava bonus veren bahis siteleri maltepe escort 1xbet sex hatları kayseri escort mersin escort adana escort hicho Oktoba 6.2019.[/caption] [caption id="attachment_47837" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua ukarabati wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, mkoani Singida, Oktoba 6.2019.[/caption] [caption id="attachment_47838" align="aligncenter" width="678"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua mlango, kwenye ukarabati wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, mkoani Singida, na kutoridhishwa na vitasa hafifu vilivyotumika katika milango hiyo, Oktoba 6.2019.[/caption] [caption id="attachment_47839" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimhoji Afisa Manunuzi wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, Bw. Francis Muyombo (kushoto), kwa kukiuka taratibu za manunuzi ya Serikali na kughushi nyaraka, Oktoba 6.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi