akimuapisha Mhe. Said Hassdan Said (kulia) kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kabla alikuwa Mwanasheria Mkuu Awamu ya 7 Uongozi uliopita.
akimuapisha Mhe. Salma Ali Hassan (kulia) kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kabla alikuwa Mkurugenzi Mashtaka Zanzibar
akimuapisha Mhe. Mohamed Ali Mohamed (kulia) kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kabla alikuwa Mrajis wa Mahkama Kuu