
Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma akielezea jambo alipotembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha mafunzo kwa ajili ya wadau wa Mahakama leo Jijini Dar es Saalaam. Kituo hicho kinajengwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) katika kutoa mafunzo kwa njia ya teknolojia ya kiasa. Kushoto kwake ni Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania (WB) Bi. Bella Bird na Mtaalamu wa Benki ya Dunia (WB) Bw. Waleed Malik (kulia).
Na: Frank Shija
Mahakama imeanzisha Kituo cha mafunzo kwa lengo la kusogeza huduma za mafunzo kwa wadau mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango mkakati wa maboresho ya Mahakama nchini.
Hayo yamebainishwa leo na Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania Mhe. Profesa Ibrahim Juma alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha mafunzo kinachojengwa katika Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam.

Mratibu wa Mpango Mkakati wa Mahakama Tanzania pamoja na Maboresho ya Huduma za Mahakama Mhe. Zahara Mruma akielezea kuhusu mradi wa ujenzi wa Kituo cha mafunzo kwa ajili ya wadau wa Mahakama leo Jijini Dar es Saalaam. Kituo hicho kinajengwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) katika kutoa mafunzo kwa njia ya teknolojia ya kiasa. Waliokaa mbele ni Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma (kushoto) na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania (WB) Bi. Bella Bird.
Akizungumza mara baada ya kukagua ujenzi huo Kaimu Jaji Mkuu Mhe. Profesa Ibrahim Juma amesema kuwa kituo hicho kitasaidi sana kwa mahakimu, majaji, waendesha mashtaka, wapelelezi na wadau wengine kupata mafunzo wakiwa katika maeneo yao kwa ukaribu zaidi badala ya kusafiri hadi Chuo cha Uongozi wa Mahakama kilichopo Lushoto Tanga.
“ Tunaanzisha Kituo hiki hapa Dar es Salaam kitakachotumika kutoka mafunzo kwa Mahakimu, Wapelelezi, Majaji, wadau wetu wakiwemo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hata nyie Waandishi wa Habari mtapata fursa hiyo,” alisema Mhe. Profesa Ibrahim.
Kwa upande wake Mtaalamu kutoka Benki ya Dunia (WB) Waleed Malik amesema kuwa amefurahishwa na namna ujenzi huo unavyoendelea na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Mahakama katika kutekeleza mpango mkakati wa miaka mitano wa Mahakama unaoenda sambamba na maboresho ya huduma za Mahakama.

Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma akiwa pamoja na Jaji Kiongozi Mhe. Ferdinand Wambali (kushoto kwake) Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania (WB) Bi. Bella Bird na Mtaalamu kutoka Benki hiyo Bw. Waleed Malik (kulia) wakimsikiliza mtaalamu wa teknolojia ya ujenzi ya Moladi, walipotembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha mafunzo kwa ajili ya wadau wa Mahakama leo Jijini Dar es Saalaam. Kituo hicho kinajengwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) katika kutoa mafunzo kwa njia ya teknolojia ya kisasa.

Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma akiwa pamoja na Jaji Kiongozi Mhe. Ferdinand Wambali (nyuma yake) Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania (WB) Bi. Bella Bird na Mtaalamu kutoka Benki hiyo Bw. Waleed Malik (kulia) wakiangalia moja ya vifaa vinavyotumika katika ujenzi walipotembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha mafunzo kwa ajili ya wadau wa Mahakama leo Jijini Dar es Saalaam. Kituo hicho kinajengwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) katika kutoa mafunzo kwa njia ya teknolojia ya kiasa.
Naye Mratibu wa mpango huo Mhe. Zahara Maruma amesema kuwa kituo hicho kitakuwa kikitumia teknolojia ya kisasa katika utoaji wa mafunzo kupitia njia ya video conference ambapo wawezeshaji watatumia kituo hicho kuwasiliana moja kwa moja na wanafunzi wakiwa katika maeneo yao.
Mhe. Zahara amesema kuwa lengo kubwa la Mahakama ni kuunganisha Mahakama zote katika mfumo wa video conference ambazo zitawezesha watumishi kupata mafunzo wakiwa katika maeneo yao ya kazi.
Aliongeza kuwa kukamilika kwa kituo hicho kusaidia katika kutunza muda, na gharama zilizokuwa zinatumiwa kwa ajili ya mafunzo kwa kuwa watumiaji wa mahakama watapata huduma hiyo wakiwa katika maeneo yao ambapo Mahakama zao zitakuwa na mtandao wa video.

Baadhi ya mafundi wakiendelea na ujenzi mradi wa Kituo cha mafunzo kwa ajili ya wadau wa Mahakama leo Jijini Dar es Saalaam. Kituo hicho kinajengwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) katika kutoa mafunzo kwa njia ya teknolojia ya kiasa.

Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi Mahakama na Benki ya Dunia (WB) walipotembelea mradi wa ujenzi wa Kituo cha mafunzo kwa ajili ya wadau wa Mahakama leo Jijini Dar es Saalaam. Kituo hicho kinajengwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) katika kutoa mafunzo kwa njia ya teknolojia ya kiasa. Kutoka kushoto ni Mtaalamu kutoka Benki hiyo Bw. Waleed Malik, Jaji Kiongozi Mhe. Ferdinand Wambali na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania (WB) Bi. Bella Bird na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, Mhe. Beatrice Mutungi. (Picha zote na: Idara ya Habari – MAELEZO)
“ Mfumo huu utaondoa ulazima kwa majaji na wadau kwenda Lushoto kwa ajili ya mafunzo badala yake watapata mafunzo kupitia mtandao wa Video Conference wakiwa maeneo yao moja kwa moja kutoa hapa au Lushoto” alisema Mhe. Zahara.
“Kukamilika kwa Kituo hiki kutatoa fursa kwa uanzishwaji wa vituo vingine kama hiki katika maeneo mengine ya hasa katika Mahakama Kuu za Kanda,” aliongeza.
Ujenzi wa kituo hiki unagharimu jumla ya shilingi milioni 78 chini ya ufadhiri wa Benki ya Dunia ambapo ujenzi wake utachukua muda wa wiki nane kutokana na kutumia teknolojia ya kisasa ya ujenzi nafuu ijulikanyo kama Moladi. Kituo hiki kitakuwa kikitumiwa na Taasisi ya Uongozi wa Mahakama (IJA) kilichopo Lushoto katika kutoa mafunzo kwa wadau wa Mahakama.
Pingback: viagra us
Pingback: viagra cialis
Pingback: otc cialis
Pingback: cialis professional
Pingback: prices of cialis
Pingback: generic for cialis
Pingback: otc ed pills
Pingback: buying ed pills online
Pingback: best ed pills at gnc
Pingback: canadian pharmacy online
Pingback: cialis visa
Pingback: vardenafil
Pingback: vardenafil
Pingback: loans online
Pingback: cialis to buy
Pingback: generic cialis
phd thesis database thesis database help writing thesis statement
do you need a prescription for cialis http://jacialis.com/ buy tadalafil online
buy cialis without prescription what is tadalafil cialis tadalafil
thesis printing http://thesiswritinghelpfvb.com/
what is tadalafil http://sjcialis.com/ tadalafil cialis
brand viagra http://ajviagra.com/ viagra sildenafil
cheap cialis cialis without a prescription cheap tadalafil
cialis prescription http://jocialisrl.com/ non prescription cialis
cialis 10mg cheap tadalafil non prescription cialis
online custom essays http://customessaywritershb.com/ cheap custom essays
best dissertation writing services http://dissertationhelpxvf.com/ dissertation abstracts
pay to write paper do my paper write my paper for me
best site to buy research papers http://researchpapersgaa.com/ help with research papers
Pingback: tadalafil cialis
best writing service reviews http://buyessayhelpvwe.com/ buy essay cheap online
Pingback: cialis 5mg
Pingback: slot machines
cialis pills viagra or cialis cialis without a doctor prescription
purchase viagra sublingual viagra generic viagra
cialis website cialis dosage buy cialis online safely
buy cheap viagra buying viagra online how does viagra work
tadalafil best price tadalafil best price order cialis online
cialis cost cialis pills how to avoid cialis side effects
online order viagra buying viagra online viagra for sale
tadalafil tablets 20 mg cheap tadalafil cialis sale
cialis generic cialis cost no prescription cialis
buy viagra over the counter viagra over the counter viagra
Pingback: Viagra 130 mg no prescription
Pingback: Cialis 10 mg australia
Pingback: Cialis 10 mg usa
Tips effectively taken.! https://definitionessays.com/
Pingback: cost of Cialis 80mg
Pingback: tadalafil 60mg prices
Whoa plenty of good tips!
Truly plenty of beneficial data!
canadian pharcharmy online fda approved pharmacy online
Pingback: ceftin usa
Pingback: celebrex 200mg united kingdom
Pingback: cipro 1000mg prices
Pingback: claritin 10mg otc
You actually reported that fantastically! writing essays in college https://discountedessays.com i need help writing a thesis statement
Pingback: buy tadalafil 40mg
canadian drug pharmacy pharmacy online us online pharmacy
Pingback: atomoxetine cheap
Pingback: dutasteride canada
Pingback: loratadine united kingdom
Pingback: prochlorperazine price
Pingback: phenytoin 100mg without prescription
prescription without a doctor’s prescription nz viagra no 1 canadian pharcharmy online
I like the helpful info you provide in your
articles. I’ll bookmark your blog and test again here frequently.
I’m quite certain I will learn a lot of new stuff right here!
Best of luck for the following!