
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa kikao kazi baina yake na watendaji wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kikuchumi leo jijini Dodoma.
Na: Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Mifuko na Program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi imepewa siku 45 kutengeneza mpango mkakati wa pamoja utakaoelekeza vipaumbelele vya kitaifa vya kisekta kutokana na Shughuli za Uchumi zilizopo katika maeneo mbalimbali nchini.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama ameyabainisha hayo leo jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde akizungumza wakati wa kikao kazi baina ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) na watendaji wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi leo jijini Dodoma.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa akiwasilisha jambo wakati wa kikao kazi baina ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) na watendaji wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi leo jijini Dodoma.
Waziri Jenista amesema kuwa dhumuni la Serikali ni kuiweka mifuko hiyo iweze kufanya kazi kwa kushirikiana kwani imebainika kuwa kila mfuko unafanya kazi katika uwanja wake pasipo ushirikiano wa pamoja na Mifuko au Programu zingine hali inayopelekea kutokea kwa changamoto katika kufikia Malengo ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025.
“Ili kuwafikia wananchi wengi ni lazima tufanye maamuzi magumu ya pamoja yatakayotuwezesha tuwe na maamuzi ya pamoja katika kutengeneza nchi kwenda katika lengo la kimkakati wa taifa hivyo natoa siku 45 kwa wahusika kukamilisha mpango kazi wa Taifa wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi,” alisema Waziri Jenista.
Mpango kazi huo utaiwezesha mifuko hiyo kujiratibu na kutengeneza mfumo ambao utaenda sawa na muelekeo wa serikali pamoja na kuwawezesha wananchi kunufaika na mifuko hiyo sawa sawa na malengo yaliyokusudiwa.

Mkurugenzi wa Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi toka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bw. Edwin Chrisant akiwasilisha taarifa za mifuko hiyo mbele ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) katika kikao kazi cha watendaji wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi leo jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (kulia) na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde wakifuatilia kikao kazi baina yao na watendaji wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kikuchumi leo jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) akipongezwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa mara baada ya kuwasilisha hotuba ya ufunguzi wa kikao kazi cha watendaji wa Mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi leo jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha pamoja baina ya watendaji wa mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu leo jijini Dodoma. (Picha na: Idara ya Habari – MAELEZO).
Ameongeza kuwa pamoja na kutengeneza mpango huo, lazima mifuko na Programu hizo ziwekwe kwa makundi yanayofanana ili kurahisisha utendaji kazi wa mifuko hiyo ambayo itawezesha mageuzi makubwa ya kiuchumi.
Aidha, katika kutekeleza masuala hayo kwa ufanisi, Waziri Jenista amependekeza kuundwa kwa kikosi kazi kitakachoshirikiana kwa pamoja katika maandalizi ya mpango huo kitakachojumuisha wawakilishi kutoka katika Taasisi za Mifuko na Programu za Uwezeshaji ambapo Idara ya Uwezeshaji na Maendeleo ya Sekta Binafsi iliyopo Ofisi ya Waziri Mkuu itawajibika katika Maandalizi ya Hadidu za Rejea pamoja na Muda wa kimkakati katika kila hatua ya maandalizi ya kazi hiyo.
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi imekuwa ikiratibu Programu na Mifuko 45 ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi iliyoanzishwa kwa lengo kuu la kupanua wigo wa utoaji huduma za kifedha pamoja na huduma nyingine za uwezeshaji wananchi kiuchumi ili kuwafanya washiriki kikamilifu katika uchumi wa Nchi
Pingback: viagra price walmart
Pingback: erection pills
Pingback: best ed pills at gnc
Pingback: best ed pills
Pingback: cialis 10mg
Pingback: online pharmacy
Pingback: generic cialis online
Pingback: vardenafil online pharmacy
Pingback: vardenafil pill
Pingback: levitra canada
Pingback: online casinos
Pingback: online casino real money no deposit
Pingback: viagra without doctor
Pingback: online casino games real money
Pingback: casino games online
Pingback: payday advance
Pingback: payday advance
Pingback: loans online
Pingback: viagra cost
Pingback: cialis generic
Pingback: online casino us customers
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: generic cialis
Pingback: wire transfer las vegas casino
Pingback: wind creek casino online games
Pingback: best online casino for money
Write more, thats all I have to say. Literally, it seems as though you relied on the video
to make your point. You clearly know what youre talking about, why waste your intelligence on just posting videos to your site when you could be giving
us something enlightening to read?
Pingback: online casino real money usa
Pingback: casino games online
Pingback: best casino online
I visited many websites but the audio feature for audio songs existing at this web
page is truly marvelous.
Link exchange is nothing else but it is only placing the other person’s website link on your page at suitable place and other person will also do same for you.
cheap flights 34pIoq5
Thanks for finally talking about > Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Yapewa Siku 45 Kutengeneza Mpango Mkakati
wa Pamoja | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA < Loved it! cheap flights 32hvAj4
Pingback: order viagra
I like the helpful info you supply for your articles.
I will bookmark your weblog and test once more here regularly.
I’m moderately sure I’ll be informed many new stuff proper here!
Good luck for the following!
Pingback: cialis prescription online
Pingback: free slots
viagra discount viagra viagra amazon
how much is viagra generic viagra online viagra 100mg
free dating online,online dating free
dating sites
dating online free
24 hour pharmacy near me 24 hours pharmacy canada drug pharmacy
tinder website , tinder sign up
tinder dating app
tinder login, tider
tinder app
online pharmacy no prescription needed pharmacy tech canadian pharmacy kingcanadian viagra
drug stores near me viagra jelly usa viagra australia paypal
legitimate online pharmacies drugs from canada online aarp recommended canadian pharmacies
no 1 canadian pharcharmy online Cialis Professional us pharmacy no prior prescription
It is appropriate time to make some plans for the future and it’s time to be happy.
I’ve read this post and if I could I wish to suggest you few interesting
things or tips. Maybe you could write next articles referring
to this article. I desire to read more things about it!
Excellent blog here! Also your site loads up fast!
What host are you using? Can I get your affiliate
link to your host? I wish my web site loaded
up as quickly as yours lol
the dating list online free
dating sites for over 50