
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Septemba 15, 2017.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa taasisi zilizopewa dhamana ya kusimamia mazao makuu matano ya biashara ambayo ni ya pamba, tumbaku, korosho, chai na kahawa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
Amesema mazao hayo ni muhimu sana katika kuwezesha mkakati wa Serikali ya Awamu ya Tano wa kufikia uchumi wa viwanda kwani ndiyo mhimili wa kutoa malighafi za kuendesha viwanda husika na yana mnyororo mpana wa uzalishaji ambao una fursa ya kutoa ajira nyingi.
Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Septemba 15, 2017) Bungeni mjini Dodoma alipowasilisha hotuba yake ya kuahirisha Mkutano wa Nane wa Bunge. Amesema Serikali imejipanga kuimarisha usimamizi katika uzalishaji na uuzaji wa mazao hayo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na Wabunge baada ya kuwasilisha hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Septemba 15, 2017.
Amesema Serikali itahakikisha kuwa kila taasisi iliyopewa dhamana ya kusimamia mazao hayo, inatekeleza majukumu yake ipasavyo sambamba na kuhakikisha kwamba Watendaji wake wanafanya kazi hiyo kwa uadilifu na ufanisi mkubwa.
Amesema jitihada hizo zinalenga kuwawezesha wakulima wengi hususan wa vijijini ambao ni takriban asilimia 75 ya Watanzania wote, kulima kilimo cha kisasa, chenye tija na cha kibiashara, hivyo kuondokana na umaskini wa kipato.
“Vilevile, kuwawezesha wakulima kupata mbinu za kisasa za kuyafikia masoko ya uhakika ya mazao yao ili kupata bei nzuri ambayo itawakwamua kiuchumi. Mazao mengine ya kibiashara yatakayotiliwa mkazo ni katani, ufuta, alizeti, mbaazi na ngano.”

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiteta na Spika wa Bunge, Job Ndugai kwenye ukumbi wa Spika baada ya kuwasilisha hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Septemba 15, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Amesema kwa kipindi kirefu uzalishaji wa mazao hayo ulishuka kulitokana na changamoto mbalimbali ikiwemo ya baadhi ya viongozi wa vyama vya Ushirika kushindwa kutekeleza vyema wajibu wao, wizi, dhuluma kwa wakulima na pia ushiriki mdogo wa Maofisa Kilimo katika kusimamia kilimo cha kitaalam.
Wakati huo huo, Waziri Mkuu amesema jumla ya vijana 1,000,000 wamelengwa kupata urasimishaji ujuzi kati ya mwaka 2017 na 2021 kupitia Mpango wa Kutathmini na Kurasimisha Ujuzi uliopatikana nje ya Mfumo Rasmi wa Mafunzo.
Amesea Serikali imeamua kuchukua hatua hiyo ili kuwawezesha vijana ambao ndiyo nguvu kazi wachangie kikamilifu katika kujenga uchumi wa Taifa. “Hadi sasa tayari vijana wengi wanaendelea kunufaika na mpango huu kutoka mikoa mbalimbali.”
Miongoni mwa faida za mpango huo ni pamoja na kuwasaidia mafundi waliojifunza kupitia sehemu za kazi kupata kazi zenye staha na kuwajengea uwezo wa kushiriki na kushindana kikamilifu katika soko la ajira. Pia kuinua tija mahali pa kazi na kusaidia waajiri/wenye makampuni kukidhi viwango katika eneo la rasilimali watu.
Waziri Mkuu amesema mpango huu unafadhiliwa kwa asilimia 100 na Serikali na unatekelezwa kwa pamoja na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi ( VETA)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
- L. P. 980,
40480 – DODOMA.
IJUMAA, SEPTEMBA 15, 2017
- · ·
Pingback: viagra use
Pingback: buying cialis cheap
Pingback: printable cialis coupon
Pingback: Viagra pfizer
Pingback: Viagra brand
Pingback: buy cialis online safely
Pingback: where to buy cialis
Pingback: best ed pills at gnc
Pingback: best ed pills non prescription
Pingback: cheap erectile dysfunction pill
Pingback: canadian pharmacy online
Pingback: canadian pharmacy
Pingback: cialis generic
Pingback: Cialis in usa
Pingback: vardenafil cost
Pingback: vardenafil price
Pingback: vardenafil 20mg
Pingback: online casino with free signup bonus real money usa
Pingback: empire casino online
Pingback: generic viagra reviews
Pingback: doubleu casino online casino
Pingback: online casino real money usa
Pingback: cialis online pharmacy
Pingback: personal loans
Pingback: payday loans
Pingback: viagra pills
Pingback: red dog casino
Pingback: parx casino online
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: red dog casino
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: gregorio
Pingback: chumba casino
Pingback: viagra online prescription free
Pingback: cheap generic viagra
Pingback: tadalafil liquid
Pingback: buy tadalafil 20mg price
cialis coupon http://lm360.us/
Pingback: play casino
Hi there just wanted to give you a quick heads up.
The text in your content seem to be running off the screen in Opera.
I’m not sure if this is a formatting issue or something to do with browser compatibility but I figured I’d post to let you know.
The design and style look great though! Hope you get the
issue resolved soon. Thanks http://grassfed.us/
buy hydroxychloroquine https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
levitra pill cost
https://cialisaaap.com/
canadian-pharmacy com viagra Situg Kig
Have you ever considered publishing an ebook or guest authoring on other
websites? I have a blog centered on the same topics you discuss and would really like
to have you share some stories/information. I know my readers would
enjoy your work. If you are even remotely interested, feel free to send me an e-mail. https://www.wisig.org/
viagra amsterdam over counter
viagra dosage
buy discount cialis Situg Kig
Attractive section of content. I just stumbled upon your blog
and in accession capital to assert that I acquire actually
enjoyed account your blog posts. Any way I will be subscribing to your feeds and
even I achievement you access consistently quickly. http://cleckleyfloors.com/
levitra coupons free levitra
what is the street value of viagra
viagra substitutes otc Situg Kig
take viagra professional
generic cialis review
cheap kamagra products Situg Kig
sildenafil 50 mg nhs
cheapest prices on generic viagra
cialis 5 mg cost walgreens Situg Kig
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
viagra without a prescription viagra mail order viagra
Pingback: ceclor without a prescription
Pingback: ceftin 500 mg otc
Pingback: slot machine games
Pingback: play online casino real money
Pingback: zestril 10 mg uk
Pingback: zovirax pills
Pingback: zyloprim over the counter
buying clomid online cheap
pil viagra
viagra generico consegna rapida Situg Kig
Pingback: tadalafil nz
india pharmacy canadian mail order pharmacy best online canadian pharmacy
Pingback: cheap aripiprazole
Pingback: fexofenadine 180 mg for sale
Pingback: meclizine canada
Pingback: atomoxetine 40 mg for sale
Pingback: irbesartan 150mg pills
taking lasix drug test lasix online ordering lasix indikasi kontraindikasi
cheapest cialis web prices
http://edcheapgeneric.online/
cialis vs viagra
prednisone severe anxiety buy 5 mg prednisone how does prednisone work in asthma