Karibuni kwenye Blogu Rasmi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huu ni Uwanja wa Wananchi Kupata Taarifa Mbalimbali za Serikali na Masuala Mengine ya Kijamii, Kisiasa, na Kiuchumi. Blogu hii inaratibiwa na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali kupitia Idara ya Habari (MAELEZO).
Waziri Mkuu Afanya Ziara ya Siku Mbili Mkoani Singida
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Iglanson, kilichopo katika Wilaya ya Ikungi, akiwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani Singida. Agosti 5, 2022
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Iglanson, kilichopo katika Wilaya ya Ikungi, akiwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani Singida. Agosti 5, 2022. Kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Jerry Muro na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Justice Kijazi.
Muonekano wa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Iglanson, kilichopo katika Wilaya ya Ikungi. Agosti 5, 2022.
Cod Levaquin Cheapeast With Free Shipping buy cialis online cialis and caduet interacion