*Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wanancho juu ya kutoridhishwa na fidia
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema atamuagizaMthamini Mkuu wa Serikali Bibi. Evelyne Mugasha kwenda katika Kata ya Kiomoni kufanya tathmini ya ardhi ya wananchi ili kubaini thamani halisi ya maeneo hayo ili wananchi waweze kufidiwa.
Hatua hiyo inakuja baada ya wananchi hao kumlalamikia Waziri Mkuu kuhusu kutoridhishwa na fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na kampuni ya Neelkanthinayomiliki kiwanda hicho cha kuzalisha chokaa.
Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana jioni (Jumanne, Oktoba 30, 2018) wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Kiomoni katika mtaa wa Kiomoni wilayani Tanga akiwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Tanga.
Alisema atamtuma Mthamini Mkuu aende kubaini nani anadai nini na anamiliki nini ili atoe kibali cha ulipwaji ili muwekezaji aweze kupewa kibali cha kuwalipa fidia yao.”Tunataka jambo hili liishe kabla ya mwishoni mwa mwaka huu kila kitu kiwe kimekamilika na hakuna mwananchi hata mmoja atakayepoteza haki yake ya msingi.”
Waziri Mkuu aliongeza kuwa uwekezaji huo ni muhimu kwa kuwa ni sehemu ambayo viwanda mbalimbali vya saruji nchini vinategemea kwa kupata malighafi, hivyo alimpongeza muwekezaji na kumshauri aongeze uzalishaji kadiri anavyoweza.
Alisema wawekezaji katika sekta ya viwanda ni muhimu kwa sababu wanaunga mkono mkakati wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ya kukuza uchumi kutoka wa chini hadi wa kati ifikapo 2025 kwa kupitia sekta ya viwanda.
Alisema fursa ya uwepo wa kiwanda hicho utawezesha kukuza uchumi Taifa na wananchi kwa ujumla kwa sababu kiwanda kitakapokamilika kitatoa ajira ya watu zaidi ya 2,000 wakiwemo wakazi wa eneo hilo.
Wakati huo huo, Waziri Mkuu alimuagiza Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Bw. Thobias Mwilapwa Mkinga leo (Jumatano, Oktoba 31, 2018) akutane na wananchi wa kijiji hiko na kusikiza kero mbalimbali zinazowakabili na kushirikiana nao katika kuzipatia ufumbuzi.
Waziri Mkuu alisema Serikali imeelekeza nguvu kubwa katika kuwatumikia wananchi na kutatua kero zao, hivyo itasimamia kuhakikisha kila mtumishi anawajibika kwa kiwango kinachostahili, ambapo aliwataka viongozi wa wilaya hiyo kwenda kwa wananchi.
“Watendaji hamuendi kuwatembelea wananchi na kusikiliza matatizo yao, haiwezekana wawe wanawasubiri viongozi wa juu na kuwasilisha kero zao, sasa jipangeni haya mabango yote mtakuja kuyajibu kwa sababu hoja zote ni za ngazi ya halmashauri,” alisema.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, OKTOBA 31, 2018.
Pingback: viagra sales
Pingback: buy generic cialis
Pingback: Pfizer viagra 50 mg online
Pingback: cialis no prescription
Pingback: cheap ed pills
Pingback: buying ed pills online
Pingback: ed medications
Pingback: walmart pharmacy
Pingback: best online pharmacy
Pingback: cialis mastercard
Pingback: Cialis in usa
Pingback: levitra online
Pingback: cheap vardenafil
Pingback: buy vardenafil
Pingback: online casino games
Pingback: casino slots
Pingback: viagra prescription
Pingback: casino online slots
Pingback: online casino real money us
Pingback: cialis coupon
Pingback: cash loans
Pingback: payday loans
buy viagra online cheap
Pingback: installment loans
Pingback: viagra prescription
Pingback: best real money online casinos
Pingback: new cialis
Pingback: cialis 20
Pingback: cialis to buy
buy cheap viagra https://10mgxviagra.com/
Pingback: canadian healthcare viagra sales
Pingback: live roulette online software
Pingback: real money casino app
Pingback: best online roulette for martingale
Pingback: slot machine games
buy hydroxychloroquine https://chloroquine1st.com/
Pingback: viagra online pharmacy
Pingback: sildenafil dosage
purchase azithromycin https://azithromycinx250.com/
cheap viagra without prescription http://droga5.net/
azithromycin dosage
Pingback: buy cialis pills
amoxicillin cost without insurance cvs https://amoxycillin1st.com/
keflex 500 mg for sale https://keflex.webbfenix.com/
Pingback: free casino games
viagra online pharmacy https://mymvrc.org/
lowest price generic viagra https://www.jueriy.com/
cialis 20mg coupon http://lm360.us/
buy hydroxychloroquine online uk https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
I really like it when folks come together and
share opinions. Great website, keep it up! https://azhydroxychloroquine.com/
I let been surfriding on-dividing line Thomas More than tierce hours lately, even I by no
substance ascertained whatever attention-grabbing article similar yours.
It’s pretty Charles Frederick Worth sufficiency for me. Personally, if totally website owners and bloggers made honorable
subject matter substantial as you probably did, the nett volition expected be a wad to a greater extent utile than of all time
ahead. http://www.stdstory.com/
viagra prescription private cost
buying viagra online
viagra pills sale cheap Situg Kig
viagra pills yellow
generic viagra cost
aciclovir tablets to buy Situg Kig
www order cs com cialis
buy generic viagra
buy cialis online pay paypal Situg Kig
best canadian pharcharmy online
online pharmacy
Hello! Would you mind if I share your blog with my zynga group?
There’s a lot of people that I think would really appreciate your content.
Please let me know. Cheers https://buszcentrum.com/
canadian drugs pharmacie canadienne canada drugs pharmacy online
cialis e hemorroidas http://cialistodo.com/ jack3d and cialis
Wow plenty of awesome information.
http://canadian1pharmacy.com viagra generic
obviously like your web-site however you have to take
a look at the spelling on several of your posts.
Many of them are rife with spelling issues and I in finding it very bothersome to tell the
reality however I’ll surely come again again. https://www.wisig.org/
viagra buy in melbourne
cialis women
viagra prices singapore Situg Kig
http://www.loansonline1.com personal loans
viagra pill buying viagra online how to get viagra
online viagra prescription buy viagra online viagra 100mg
buy viagra online generic viagra online viagra over the counter usa 2020
injectable ed drugs
buy generic 100mg viagra online buy generic drugs generic viagra without a doctor prescription
pills for erection
latisse vs generic bimatoprost https://carepro1st.com/
Pingback: wellbutrin 300 mg for sale
Pingback: cheap zanaflex 2mg
cheap cialis 20mg australia
prices of cialis 20 mg
the cheapest viagra Situg Kig
Pingback: zocor without prescription
average cost of cenforce 100mg http://cavalrymenforromney.com/
Pingback: where to buy zyvox
cialis generico estafa
viagra cipla
cialis 100mg uk Situg Kig
Pingback: furosemide 40 mg generic
low cost viagra in u s a
viagra online no prescription
best pill like viagra Situg Kig
nearest drug store cheap rx best drugstore highlighter
Pingback: glimepiride 1mg price
purchasing viagra online in canada
best viagra pills
sildenafil generico masticabile Situg Kig