Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo Juni 22, 2022.
Akizungumza mara baada ya kukagua jengo hilo, Dkt. Jafo alionesha kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo huku akimtaka Mkandarasi Kampuni ya SUMA JKT kuongeza kasi ya ujenzi ili likamilike na hatimaye lianze kutumika.
Dkt. Jafo aliishukuru Kampuni ya SUMA JKT ambayo imepewa kazi ya kutekeleza mradi huo kwa hatua iliyopiga pamoja na kamati iliyoteuliwa kuusimamia ujenzi huo.
“Pamoja na kuwa mradi huu tunatakiwa tuukamilishe Novemba tisa mwakani lakini ikiwezekana hata ukamilike haraka zaidi na, ijapokuwa mkataba unasema kazi inaisha mwaka mmoja lakini ikiwezekana mwanzoni mwa mwakani iwe imekamilka,” alisema Jafo.
cheapest ivermectin online ivermectin 6 mg buy 12 mg ivermectin
medicine amoxicillin 500 how much is amoxicillin prescription
generic ivermectin 12 mg
lucky-7-bonus
wining slots
slot games
8pm news slots
pit people more slots
real casino