
Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bw. James Kajugusi, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo leo Jijini Dodoma wakati wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) kuhusu umuhimu wa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.
Na: Mwandishi Wetu
Watumishi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA ) wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili, weledi, sheria na kanuni zinazosimamia utumishi wa umma ili kufikia malengo yakutoa huduma bora kwa wananchi hasa wanyonge kama dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano inavyoelekeza.
Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa OSHA, Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Bw. James Kajugusi amesema kuwa kikao hicho ni fursa pekee ya kutathmini utendaji wa wafanyakazi na kuangalia namna ya kuboresha ili kufikia malengo yaliyowekwa.

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA), Bi. Khadija Mwenda, akimkaribisha Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Bw. James Kajugusi, kufungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa Wakala huo kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Bw. Andrew Massawe, leo Jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wa Kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) kinachofanyika leo Jijini Dodoma.
“Baraza hili la Wafanyakazi linasisitiza umuhimu wa watumishi kufanya kazi kwa maadili na nidhamu ya hali ya juu kama wakaguzi wa masuala ya Afya na Usalama katika maeneo ya kazi ili muweze kuwa mfano wa kuigwa na Taasisi nyingine za Umma zinazofanya kazi zinazoshabihiana na za kwenu.”
Akifafanua Bw. Kajugusi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kwa dhati, kuondoa uzembe, ubadhirifu pamoja na vitendo vyovyote vya rushwa mahala pa kazi, ikiwa ni pamoja na kubana matumizi yasiyo ya lazima ili kuongeza tija.
Aliwaasa watumishi hao kuhakikisha kuwa wanatekeleza wajibu wao kwa kuzingatia malengo yaliyopangwa kwa wakati husika ili kuchochea maendeleo.

Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bw. James Kajugusi, akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano na washiriki wa Kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) kilichofanyika leo Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bw. James Kajugusi, (wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA). (Picha zote na OSHA)
Pia aliwahakikishia kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu iko tayari na itaendelea kushirikiana na OSHA kutatua changamoto zitakazoibuliwa ili kusaidia katika kutekeleza dhana ya ujenzi wa uchumi wa viwanda kwa wakati.
Kwa upande wake Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, amesema kuwa wameshiriki kikamilifu katika kuchochea uchumi wa viwanda kwa kupunguza gharama za ufanyaji biashara kupitia tozo na ada mbalimbali zilizoondolewa pamoja na kuondoa urasimu katika kutoa huduma.
Tozo hizo zimeondolewa baada ya Serikali ya Awamu ya Tano kujikita katika kujenga uchumi wa Viwanda na kuboresha mazingira ya Biashara na uwekezaji nchini.
Alibainisha kuwa baadhi ya Ada na tozo zilizoondolewa ni pamoja na; Ada ya Usajili wa eneo la kazi iliyokuwa ikitozwa kati ya shilingi elfu 50,000/ hadi 1,800,000/, Ada ya fomu ya Usajili sehemu ya kazi (2000/-), kufuta faini zinazohusiana na vifaa vya kuzima moto ya shilingi laki 5,000,000/-.
Ada nyingine zilizoondolewa ni pamoja na Ada ya Leseni ya kukidhi matakwaa ya sheria ya Afya na Usalama iliyokuwa inatozwa shilingi 200,000/ kwa mwaka na kuondoa tozo ya ushauri wa kiutaalamu wa Usalama na Afya ya shilingi laki 450,000/kwa sasa.
Hatua nyingine zilizochukuliwa ni pamoja na kupunguza urasimu katika muda wa kupata cheti cha usajili wa sehemu ya kazi kutoka siku 14 hadi siku 1 kwa sasa.Pia upatikanaji wa leseni ya kukidhi matakwa ya sheria ya Usalama na Afya mahali pa kazi imepungua kutoka siku 28 hadi siku 3.
Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Usalama na Afya Mahala Pa Kazi (OSHA) limefanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili likilenga kutathmini utendaji kwa kipindi cha miezi sita iliyopita na kuweka mikakati ya pamoja ya kuongeza tija katika huduma za Wakala huo ili kufikia malengo ya kuanzishwa kwake.
Pingback: cost of cialis
Pingback: printable cialis coupon
Pingback: generic cialis cost
Pingback: Rx generic viagra
Pingback: Cost of viagra
Pingback: cialis online canada
Pingback: medicine for erectile
Pingback: ed medication
Pingback: cheap erectile dysfunction
Pingback: buy generic cialis
Pingback: rx pharmacy
Pingback: Buy cialis
Pingback: order vardenafil
Pingback: levitra canada
Pingback: real money casino online usa
Pingback: buy generic viagra online
Pingback: casino slots gambling
Pingback: empire casino online
Pingback: instant loans
Pingback: payday loans
Pingback: viagra cost
Pingback: casino games uk
Pingback: 20 cialis
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: online casino games for real money
Pingback: online casino credit card friendly
Pingback: real money online casinos usa
Hi! Would you mind if I share your blog
with my twitter group? There’s a lot of people that I think would really appreciate
your content. Please let me know. Many thanks
Greetings! This is my first visit to your blog! We are a team of volunteers
and starting a new initiative in a community in the same niche.
Your blog provided us valuable information to work on.
You have done a marvellous job! adreamoftrains webhosting
Hi there colleagues, fastidious piece of writing and pleasant arguments commented here, I am really enjoying by these.
Pingback: online casino gambling
Thanks in support of sharing such a pleasant opinion, paragraph is pleasant,
thats why i have read it entirely
I am regular reader, how are you everybody? This piece of writing
posted at this website is actually fastidious. cheap
flights 32hvAj4
If you are going for finest contents like I do,
simply pay a visit this web site everyday as it gives quality
contents, thanks
Pingback: viagra reviews
I visit each day a few sites and information sites to read
articles, however this webpage provides quality based content.
Pingback: buy viagra online cheap
Hello, everything is going sound here and ofcourse every one is sharing data, that’s genuinely good, keep up writing.
Pingback: buy generic cialis online
cialis prices 20 mg http://lm360.us/
Pingback: https://www.jueriy.com
It is perfect time to make some plans for the future and it’s time to be happy.
I have read this post and if I could I wish to suggest you
few interesting things or advice. Maybe you can write next
articles referring to this article. I want to read more things about
it! https://www.wisig.org/
Very nice blog post. I definitely appreciate this website.
Continue the good work! http://grassfed.us/
buy retin a cream .05
viagra dosage
cialis pharmaceuticals Situg Kig
cialis prices ib caremark
generic viagra 100mg
viagra cialis from canadian pharmacy Situg Kig
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
how much will generic viagra cost buying viagra online viagra coupon
sildenafil sale australia
order generic viagra
viagra osterreich kaufen Situg Kig
sildenafil prescription uk
viagra mechanism
coupon cialis online Situg Kig
what is generic for viagra
cialis soft tablets
canada cialis free samples Situg Kig
Im obliged for the article.Really looking forward to read more.
Wow, that as what I was seeking for, what a data! present here at this weblog, thanks admin of this website.
I truly appreciate this blog.Much thanks again. Awesome.
It as hard to find experienced people about this topic, however, you seem like you know what you are talking about! Thanks
Souls in the Waves Excellent Morning, I just stopped in to go to your website and considered I would say I experienced myself.
viagra 50 mg first time
viagra natural alternative
online viagra ship to canada no prescription Situg Kig
Thanks for sharing, this is a fantastic post.Thanks Again. Awesome.
pretty handy stuff, overall I think this is well worth a bookmark, thanks
Really informative article post.Much thanks again. Great.
Im obliged for the blog article.Much thanks again. Fantastic.
The Birch of the Shadow I feel there may possibly become a couple duplicates, but an exceedingly handy listing! I have tweeted this. Several thanks for sharing!
medical pharmacy pharmacy express drugs from canada
Wolverine, in the midst of a mid-life crisis, pays a visit to an old comrade in Japan and finds himself in the midst of a power struggle.
It`s really useful! Looking through the Internet you can mostly observe watered down information, something like bla bla bla, but not here to my deep surprise. It makes me happy..!
Im thankful for the blog post.Much thanks again. Want more.
Nice blog right here! Also your web site so much up very fast! What host are you the usage of? Can I am getting your associate link on your host? I desire my website loaded up as fast as yours lol
I simply couldn at depart your web site prior to suggesting that I really enjoyed the
Your current posts often possess a lot of really current info. Where can you come up with this? Just declaring you might be very formative. Thanks once again
Im obliged for the article.Thanks Again. Cool.
wow, awesome article post.Really thank you! Really Cool.
Major thankies for the article.Much thanks again. Cool.
Thanks for the blog.Thanks Again. Great.