
Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Mhandisi Robert Luhumbi akizungumza na Waandishi wa Habari leo mkoani humo kuhusu Kampeni Maalum ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza leo tarehe 9 hadi 13 Aprili, 2018 ikiwa na lengo la kuelimisha, kusikiliza malalamiko, changamoto pamoja na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwa wafanyabiashara na wananchi wa mkoa huo.
Na Veronica Kazimoto
Wito umetolewa kwa wafanyabiashara na wananchi wa Mkoa wa Geita kujitokeza kwa wingi katika Kampeni Maalum ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi kwa ajili ya kuwasilisha malalamiko, changamoto, maoni pamoja na kupata elimu ya masuala ya kodi na ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwa ujumla.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mkoani Geita, Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Mhandisi Robert Luhumbi amesema kuwa, wafanyabishara na wananchi watumie fursa ya kampeni hii itakayomalizika tarehe 13 Aprili, 2018 kupata elimu sahihi ya masuala ya kodi na tozo mbalimbali.
“Nachukua fursa hii kutoa wito kwa wafanyabiashara na wananchi wote wa mkoa huu hususani wale wanaoishi katika maeneo ya Masumbwe, Ushirombo, Rulembela, Katoro, Lunzewe, Namonge, Nyanghw’ale, Bwanga na Muganza kujitokeza kwa wingi ili waweze kujifunza, kupata huduma na kutoa maoni yao kwa watalaam wetu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili waweze kuyatolea ufafanuzi na kuyafanyia kazi,” amesema Mhe. Luhumbi.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita akizungumza wakati wa mkutano wa Waandishi wa Habari mkoani humo kuhusu Kampeni Maalum ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza leo tarehe 9 hadi 13 Aprili, 2018 ikiwa na lengo la kuelimisha, kusikiliza malalamiko, changamoto pamoja na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwa wafanyabiashara na wananchi wa mkoa huo.

Kiongozi wa timu ya watalaam kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Maternus Mallya akizungumza wakati wa mkutano wa Waandishi wa Habari mkoani Geita kuhusu Kampeni Maalum ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza leo tarehe 9 hadi 13 Aprili, 2018 ikiwa na lengo la kuelimisha, kusikiliza malalamiko, changamoto pamoja na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwa wafanyabiashara na wananchi wa mkoa huo. (Picha na Benedict Liwenga).
Nae Meneja wa TRA mkoani hapa, James Jilala amesema kuwa, lengo kuu la kufanya kampeni hii maalumu ni kuelimisha, kusikiliza malalamiko, changamoto pamoja na kupokea mrejesho na maoni mbalimbali kutoka kwa wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla.
“Kampeni hii ni mwendelezo wa Wiki ya Elimu kwa Mlipakodi iliyofanyika nchi nzima kuanzia tarehe 5 hadi 9 Machi, 2018 katika ngazi ya mkoa. Kutokana na matokeo ya kampeni ile mkoani hapa, tumeona ni muhimu tuwe na kampeni nyingine maalumu ambayo inafanyika maeneo mbalimbali katika wilaya zetu tofauti na ile ya kwanza iliyofanyika Geita mjini tu,” amefafanua Jilala.
Kwa upande wake kiongozi wa timu ya watalaam kutoka TRA Makao Makuu Maternus Mallya ameeleza kuwa, timu yake imejipanga vizuri na tayari kazi imeanza kufanyika katika vituo vyote vilivyotengwa kwa ajili ya kampeni hiyo.
“Hapa ninapozungumza, wenzangu wako kwenye maeneo husika wanaendelea kufanya kazi. Hivyo, kama alivyosema Mhe. Mkuu wa Mkoa, nami natoa rai kwa wananchi wote mkoani hapa, kujitokeza kwa wingi ili waweze kukutana na watalaam wetu kwa ajili ya kupata huduma na elimu ya mlipakodi,” amesema Mallya.
Kampeni Maalum ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi mkoani Geita imeanza leo tarehe 9 hadi 13 Aprili, 2018 ambapo pamoja na mambo mengine, wafanyabiashara na wananchi watasajiliwa na kupatiwa Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) pamoja na kuelimishwa kuhusu ulipaji wa Kodi ya Majengo kwa njia ya kieletroniki.
Pingback: cialis super active
Pingback: generic cialis canada
Pingback: is cialis generic
Pingback: Viagra original pfizer order
Pingback: best place to buy cialis online
Pingback: cialis 5mg price
Pingback: cheapest ed pills
Pingback: cheapest ed pills
Pingback: over the counter erectile dysfunction pills
Pingback: cialis 10 mg
Pingback: pharmacy online
Pingback: canadian pharmacy online
Pingback: cialis mastercard
Pingback: generic cialis
Pingback: generic vardenafil
Pingback: generic levitra
Pingback: levitra
Pingback: casino slots
Pingback: cialis generic name
Pingback: payday loans
Pingback: installment loans
Pingback: instant loans
Pingback: viagra for sale
Pingback: cialis 20
Pingback: generic for cialis
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: online casino games
Pingback: free slots
Pingback: best online casino real money
Pingback: viagra generic name
Pingback: viagra discount
Pingback: viagra discount
Pingback: buy viagra pills
Pingback: viagra pills for sale
Pingback: buy cialis generic
Pingback: viagra for sale
Pingback: viagra buy
Pingback: viagra without doctor prescription
average age of man taking viagra
what if you snort 60 mg viagra
generic viagra cvs
viagra and insurance coverage
buy viagra online canada
what are some ed drugs cheaper than viagra
how long does 80 mg of viagra take to get into your system
cheapest viagra viaonlinebuy.us generic viagra
how long does it take for viagra
what does it mean to take viagra daily as needed
buy viagra pills
viagra pill how to take
when does viagra go generic 2012
buy viagra canada https://viaonlinebuy.us/ buy viagra pills
viagra for lymphoma survivors
Pingback: where is the best place to buy viagra online
Hi there just wanted to give you a brief heads up and let you know a few of the pictures aren’t loading properly.
I’m not sure why but I think its a linking issue. I’ve tried it in two different web browsers and both show the same outcome.
my web page bovada mvp odds
roy d mercer viagra
buy viagra online canada
why is viagra so expensive
when is viagra going to be generic
buy real viagra online
how is work viagra sex
viagra and alcohol effects
uses for viagra
viagra ispolzovanie
buying viagra
viagra without a doctor prescription https://www.v1agrabuy.com/ buy viagra no prescription
which rhino.tablet supposedly has the ingredient that viagra has in it
It’s appropriate time to make a few plans for the long run and it is time to be happy. I have learn this post and if I may I desire to counsel you some attention-grabbing issues or advice. Maybe you can write next articles referring to this article. I wish to learn more issues about it!
viagra on an empty stomach
viagra online viaonlinebuy.us viagra pills
why would a woman take viagra
why is viagra so expensive in usa
https://trusttnstore.com/# – buy generic viagra
can you get viagra in a store
Pingback: generic cialis
There is certainly a great deal to find out about this issue. I really like all the points you have made.
how long is viagra effective once taken
viagra online
viagra price uk
when is the best time to take viagrahow long does viagra take to kick in
viagra pillmarley generics sildenafil https://popularedstore.com/ cialis for sale
what was viagra originally for
Pingback: cialis pills
what is the cost of viagra without insurance?
sildenafil citrate generic viagra 100mg cialis https://edjass.com/ viagra online
my husband went for over an hour using viagra
tadalafil tadalis pille 20mg cialis generika
cialis gel tab
cialis 20mg inhaltsstoffe Situg Kig
cheap viagra steroids
viagra 90 pills
nolvadex order online Situg Kig
Pingback: zovirax united kingdom
Pingback: zyloprim 300 mg prices
Pingback: tadalafil over the counter
pharmacy drugstore online canada pharmacy online save on pharmacy
Pingback: how to purchase aripiprazole 10mg
Pingback: how to buy spironolactone 100 mg
how to get prescription drugs without doctor
https://canadarx24.com/#
viagra without a prescription
impotence drugstore makeup pharmacy coupons
Pingback: meclizine tablets
cialis online kaufen forum
where to buy viagra in bangalore
viagra pills manufacturer Situg Kig